Kenya yachagua kikosi cha kuteka dunia mbio za nyika

MABINGWA mara 23 wa dunia Kenya wamechagua kikosi cha kudondosha mate kwa makala ya 45 ya Mbio za Nyika za Dunia zitakazofanyika jijini Belgrade, Serbia mnamo Machi 30, 2024.

Agnes Ngetich, Emmaculate Anyango na Lilian Kasait wanaokamata nafasi tatu za kwanza kwa muda bora duniani mwaka huu katika mbio za kilomita 10 za barabarani wa dakika 28:46, 28:57 na 29:32, mtawalia, wako katika kikosi cha taifa cha wakimbiaji 30 kilichochaguliwa katika uwanja wa Chuo cha Mafunzo cha Magereza mjini Ruiru, Kiambu, Jumamosi.

Beatrice Chebet na Ngetich waliozoa dhahabu na shaba mtawalia kwenye Mbio za Nyika za Dunia 2023 nchini Australia, bingwa wa 21km kwenye Riadha za Dunia za Barabarani 2023 Margaret Chelimo pamoja na mshindi wa mbio za nyika za majeshi Cintia Chepngeno wanakamilisha orodha ya washiriki sita watakaotimka kitengo cha 10km cha wanawake. Chepngeno alikosa kumaliza mbio nchini Australia kwa hivyo amepata fursa nzuri ya kujifariji.

Bingwa wa dunia 21km kwenye Riadha za Dunia za Barabarani 2023 Sebastian Sawe ataongoza kikosi cha 10km wanaume kilicho na mfalme wa mbio za nyika kitaifa 2022 Samuel Chebolei, bingwa wa dunia mara mbili mbio za nyika Geoffrey Kamworor pamoja na Gideon Rono, Benson Kiplagat na bingwa wa dunia kitengo cha chipukizi 2023 Ishmael Kipkurui.

“Nilikuwa na matumaini makubwa ya kutwaa tiketi. Mpango wangu wa kutoonekana na kuchomoka zikisalia mita 500 naona ulifanya kazi vizuri,” akasema Sawe anayelenga medali jijini Belgrade.

Reynold Cheruiyot aliyemaliza nyuma ya Kipkurui pamoja na washindi wa dhahabu ya mbio mseto Emmanuel Wanyonyi na Kyumbe Munguti, sawa na Diana Chepkemoi, Emmanuel Wanyonyi na Charles Rotich watapata fursa ya kuimarisha matokeo yao kutoka mwaka 2023.

Timu ya chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20 ya Kenya inajumuisha Sheila Chebet, Deborah Chemutai, Nancy Cherop, Mercy Chepkemoi, Diana Cherotich na Diana Chepkemoi (wanawake kilomita sita) na Samuel Kibathi, Charles Rotich, Mathew Kipkoech, Jonah Erot, Shadrack Rono na Gideon Kipngetich (wanaume kilomita nane).

Cheruiyot, Wanyonyi, Munguti, Virginia Nyambura, Mercy Wanjiru na Purity Chepkirui watashiriki mbio mseto.

Connexion utilisateur

Commentaires récents

  • Prendre à-bras-le-corps la question cruciale du transport public

    Branchi et Albè nous emmerdent !!!!

    yeg

    30/08/2026 - 10:45

    1) Branchi :c'est lui et ses copains de la CTM qui gèrent Mqe Transport ,oui ou non ? Lire la suite

  • L'incroyable résistance de l'Iran booste le chiisme en Afrique

    BIZARRE, NON ?

    Albè

    28/08/2026 - 19:55

    Selon Yeg-Yug-Troyag-Jean-Nemar, les Africains ont tous été castrés par les Arabes. Lire la suite

  • Cette conasse qui traite Mélenchon d'antisémite sur CBOUSE

    BOMBE ATOMIQUE

    Albè

    28/08/2026 - 19:52

    Sans oublier qu'Israël aidait l'Afrique du Sud de l'Apartheid à construire une bombe atomique ! Lire la suite

  • Cette conasse qui traite Mélenchon d'antisémite sur CBOUSE

    israël génocidaire négrophobe

    @Lidé

    28/08/2026 - 15:12

    israel est derrière tous les crimes et déstabilisation en Afrique, ce peuple est un cancer pour l Lire la suite

  • Cette conasse qui traite Mélenchon d'antisémite sur CBOUSE

    EN ISRAEL...

    Albè

    28/08/2026 - 12:25

    ...les hôpitaux refusent d'utiliser le sang des donneurs noirs (les Falashas), ce que cette Sénég Lire la suite

  • Cette conasse qui traite Mélenchon d'antisémite sur CBOUSE

    Une Sénégalaise a le droit de traiter Mélenchon d'antisémite

    yeg

    28/08/2026 - 12:13

    a) Je précise moi personnellement d'emblée pour les crétins : Je ne pense pas que JLM soit antis Lire la suite

  • Dieudonné diabolisé, Benguigui blanchi ?

    MEU NON ! MEU NON !

    Albè

    26/08/2026 - 10:14

    Je ne m'appelle ni C. M. (Cours Moyen) ni C. N. Lire la suite

  • Dieudonné diabolisé, Benguigui blanchi ?

    J'aimerais bien connaitre l'Etat-civil de Albè !

    yeg

    26/08/2026 - 09:27

    D'après les informations dont je dispose ,il s'appellerait C.M ...Est ce que Frédéric confirme ?< Lire la suite

  • Le Libéria à nouveau terre de déportation !

    yeg and frédéric and co!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    @Lidé

    26/08/2026 - 04:44

    pourvu qu"un nervi du rn explique la vie à ce yeg. les branches pourries polluent.
    Lire la suite

  • Le Libéria à nouveau terre de déportation !

    EN EFFET !

    Albè

    25/08/2026 - 18:49

    Etat créé par les Blancs américains après l'abolition de l'esclavage, le Libéria aurait dû deveni Lire la suite